Wahusika Wa Kimimi Katika Riwaya Ya Kiswahili: Mifano Kutoka Dunia Yao Na Nyuso Za Mwanamke


  • Department: African Studies
  • Project ID: AFS0011
  • Access Fee: ₦5,000
  • Pages: 112 Pages
  • Reference: YES
  • Format: Microsoft Word
  • Views: 335
Get this Project Materials

SHUKRANI

Kwanza kabisa, kabla sijasema neno lolote, napenda nitoe shukrani zangu zisizo na ukomo kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu, Yeye, ndiye Mkuu; na anayepaswa kushukuriwa kwa hatua yoyote ya maisha ya mwanadamu. Ninamshukuru kwa kunijaalia afya njema, kunipa nguvu, uwezo, akili, busara na maarifakatika kipindi chote cha masomo yangu ya uzamili. Nasema kwa unyenyekevu, Mungu ndiye muweza wa kila kitu.

  • Department: African Studies
  • Project ID: AFS0011
  • Access Fee: ₦5,000
  • Pages: 112 Pages
  • Reference: YES
  • Format: Microsoft Word
  • Views: 335
Get this Project Materials
whatsappWhatsApp Us